- 323
- 183 928 611
Joti TV
Tanzania
Приєднався 28 кві 2016
Joti a.k.a Lucas Lazaro Mhuvile ni msanii wa vichekesho, mshereheshaji na mzalishaji wa vipindi ya televisheni na redio nchini Tanzania. Joti amekuwa katika sanaa kwa zaidi ya miaka 20 na ni moja ya wasanii mahiri zaidi wa vichekesho kuwahi kutokea nchini Tanzania.
MKE WA KIPOFU
Wamama kuweni na huruma hasa wanaume zenu wakiwa kwenye changamoto za ulemavu, Acheni kuchit alafu ndani...
Переглядів: 157 160
Відео
KACHOMESHA
Переглядів 145 тис.День тому
Wazazi ambao ni majambazi kuweni maakini na serikali, Kazi ya serikali ni kulinda raia na mali zao Sasa mtoto kachomesha
SIFA ZA KIJINGA
Переглядів 187 тис.14 днів тому
Hivi wanaume hizi sifa za kijinga zinawaisha lini? Unajitoa kwa mwanamke asiekupenda kisa akikudanganya tu unalainika...
NALOGA SHULE
Переглядів 135 тис.21 день тому
Wazazi muwe maakini mnapokwenda kwenye mambo yenu ya siri na watoto wenu, mtakuja kuaibika mbele ya wenzenu...
DUKANI KWA MEKU
Переглядів 244 тис.Місяць тому
Mkiona muuza duka kamuacha mtoto wake dukani ujue anamfundisha kuuza duka, Sasa wateja wenye tamaa msitumie hiyo nafasi kama fimbo.
MAJUNGU PLESI
Переглядів 216 тис.Місяць тому
Wadada muwe maakini na wanaume mnaoishi nao kwenye maisha yenu. Wengi wao ni wambea sana hawana kaba ni watoa siri...
GOOGLE
Переглядів 248 тис.Місяць тому
Wadada wa mjini punguzeni ujuaji kama Google mkifika ukweni ili mpate Ndoa, Kujifanya kila kitu unajua ndoa mtaisikia tu...
BINTI YANGU
Переглядів 190 тис.Місяць тому
Binti namsomesha kwa shida alafu unataka kumchezea nitakuuwa, Sasa Nishai kayakanyaga.
SINGO MAZA
Переглядів 262 тис.2 місяці тому
Jamani Ma singo maza wanaume hawatafutwi kwa ubabe, Tutaanza kuwaogopa sasa.... Alafu msipende kubambika watoto baba ambao sio wao.
TAMAA
Переглядів 222 тис.2 місяці тому
Wazazi waambieni vijana wenu waache tamaa, Wajifunze kuvumilia hasa kwa hii Dunia laa sivyo watakalia...
PUNJE
Переглядів 186 тис.2 місяці тому
Hii tabia ya watoto kipindi cha sikukuu hupenda sifa sana pindi wageni wanapokaribishwa kula,na watoto wengi wamekomeshwa adabu kwa staili hii..
KUBUSTI
Переглядів 241 тис.2 місяці тому
Dunia ya leo kupata mke asiechepuka nje wakati huo mbaba umepatwa na magonjwa kama kusukari jogoo alipandi mtungi shukuru mungu...
TUNATAKA MPUNGA
Переглядів 192 тис.2 місяці тому
Siku zote ubaya unalipwa kwa wema, Na uzuri wa wema unapenya popote sasa kula wema wa babu
CHUNGU CHA LEO!
Переглядів 387 тис.3 місяці тому
Jamani KUFUNGA usikie tu,Kuna watu hakika wanafunga MATENDO,ila wengine Wanafunga kula,CHUNGU CHA LEO
NAMLOGA
Переглядів 242 тис.3 місяці тому
Jamani kama mtu hakupendi usilazimishe mapenzi Utajiingiza kwenye imani zingine yakukute makubwa, Kama hupendwi achika...
😂😂😂❤❤😅😅Nishai umetisha
HII IMEENDA
Kinyo wa bunju
nishai kitombangile kitwango😂😂😂😂😂
Kapiga magoti jamani😂😂❤
Samia oyeee
Samia oyeee
We nishai bwege kweli unamficha dada yako si mama yako huyo sasa unamdanganya nini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂
Katoe zivu(vuzi)
Nishai ww ni moto broo😂😂
Hhh meku haelw
Nishai unatisha kka😂😂
Your are good creative we enjoy more and more
Suruali kavaa Sa ngapi 😂😂😂😂
Eti ebu nipeni mbavu😂😂
zitooo kapiga kama juma nature hahahahahahahahahahah
Mama Anna miguu 4
Mama Anna miguu 4
Naenda kucharge battery 🔋😂😂😂
Huyo Askari ni mtoto wa Juma Mgunda au?
😀😀😀
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Joti😂
Joti hatari sanaaa... big up chief.
Hiyo tabia inatufundisha nini
Sopa yupo wapi
NYINYI NAWAACHIA AFU TATU3😂😂
Sisi tunafos ndoa😂😂😂😂
Kwa nini kila siku nishai anawaponyokaaa😅😅😅
Nishai ni fala et hii itatoka na haja😂
Bora kutobolewa macho mawili kuliko jicho moja😂😂😂elewa JICHO MOJA😅😅😅
😂😂😂😂
ETI WATANTOBOA JICHO MOJA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Inatutia nguvu KWA sisi tunaanza sanaa
Ameharibu joti anavulia nguo mlangoni kujuilisha kabisa wabongo wakichoka kuigiza ndo ivo tena, mwingine anaigiza maskini halafu anakaa nyumba ya kifahari utaelewa nini, yani joti kwakuwa Ana gambuti ndo mda wote anatamani apite kwenye maji wakati sehemu kavu ya kupita ipo.
😂😂😂😂
😂
😀😀😀😀
😂
😀😀😀😀
Kausha chupi😂😂😂😂😂
Usiombe kutombewa Kunauma jamani😢😮😅
Nanga nakukubal sn kaka
Nanga nakukubal sn kaka
Eti nini
Unyama sana jot tv
Nimecheka wallah
You are best comedian kiboga😅😅